MSANII NASEEB ABDUL A.K.A DIAMOND PLATNUM YUPO HOI KITANDANI!!
Hii ni picha ya Diamond akiwa hospitali
baada ya kubanwa ghafla na kifua na
hivyo kwenda kufanyiwa uchunguzi ili kujua tatizo. Kwa mujibu wa Ommy
Dimpoz ambaye ni mshikaji wake wa karibu tayari msanii huyo
amesharuhusiwa lakini majibu ya vipimo vyake yatatoka kesho.
Miezi ya hivi karibuni Diamond amefululiza kufanya show katika mikoa
mbalimbali bila kupata mapumziko ya kutosha na huenda hiyo ndio ikawa ni
sababu. Kupitia Twitter Diamond ameandika "Dah hali yangu si nzuri, naumwaaa."
Tunamwombea Diamond apone haraka.
Awali ya yote napenda kuchukua fursa hii kuwapongeza Vodacom kwa kuja na wazo zuri la kutambua michango na umuhimu wa mitandao ya kijamii, ...
Followers
Blogger news
About Me
Natambua kuwa una kazi nyingi za kukupatia kipato na kujenga taifa. Hata hivyo majukumu yako hayakuzuii kupata habari na burudani! Hii ndiyo sababu nikaanzisha Blog hii ambayo itakufuata popote ulipo. Hapa utapata Makala za Burudani, Simulizi za Mapenzi,Makala za Uhusiano, Meseji kali za Mapenzi, Chemsha Bongo pamoja na Habari za Burudani za Mastaa wa hapa Bongo. Kubwa zaidi ni kukupa mengi yahusuyo Uhusiano,Mapenzi pamoja na udaku. Maoni yako ni muhimu sana. Tafadhali nitumie comments zako baada ya kusoma kazi husika. Lengo ni kuboresha zaidi. KARIBUNI MARAFIKI!!
Chukua Mkwanja Wako Mapema Leo
-
HATIMAYE baada ya jana kushuhudia mechi kibao zikipigwa na matokeo mengine
yakiwa yakustaajibisha, leo hii ni zamu tena ya wababe wengine kibao
uwanja...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
0 comments:
Post a Comment